// MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA – Muraga Technical Training Institute
JANUARY 2025 INTAKE IN PROGRESS!!!
☎0113175113 📧info@muragatechnical.ac.ke
JANUARY 2025 INTAKE IN PROGRESS!!!
☎0113175113 📧info@muragatechnical.ac.ke

MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA

Mkataba wa huduma kwa mteja kwa sauti. Bonyenza hapa

Chuo cha ufundi cha Muraga kinaahidi kutoa huduma kuambatana na viwango bora, uvumbuzi, ubunifu,  Maadili ya kitaaluma,  utawala wa mashirika na kwa kuzingatia mahitaji ya mteja.

WITO

Kituo cha ubora katika ufundishaji wa elimu ya kiufundi

LENGO:

 Kufundisha wanafunzi wenye umilisi na uvumbuzi katika TVET ili kuafikia mahitaji ya kisasa katika viwanda na kwa ajili ya kujiendeleza.

HUDUMA ZETU

NambariHUDUMAMAJUKUMU YA MTEJAADA MUDA
1Taarifa na Kujibu maswaliTumia njia zifuatazo: •Kutembelea Chuo /  kupiga SimuBila MalipoDakika 15 tangu kuwasili  
2Maombi ya nafasi ya masomoBarua ya maombi na nakala za: • Cheti cha kuhitimu cha Sekondari, • Cheti cha kuzaliwa • Cheti cha Kukamilisha Sekondari • Kitambulisho cha Taifa300Muda ufaao kulingana na mkataba
3Usajili wa wanafunziBarua ya usajili iliyojazwa Vyeti halisi vya kuthibitisha • Picha ya Pasipoti • Malipo ya karo hitajikaBila MalipoSiku hiyo hio ya wasilisho
4Mafunzo na UfundishajiMwanafunzi kuzingatia sheria na masharti ya Sera ya chuo, Kutekeleza kozi na mradi wa utafitiBila MalipoKulingana na Shajala ya Muhula
5Mitihani ya ndani ya ChuoKwa mujibu wa sera ya chuo • Kadi ya mtihaniKwa mjibu wa karo ya chuoKulingana na ratiba ya mitihani
6Mitihani ya kufuzuMalipo yote ya karo, Vyeti halisi na nakala za: • Kitambulisho cha Taifa, • Cheti cha kuzaliwaMalipo yote ya karo na ada ya mtihaniKulingana na ratiba ya mitihani
7Kuwalipa wagavi wetuMahitaji • Hati ya kudai iliyotiwa sahihi, • Nyaraka za kuthibitishaBila MalipoKwa muda Wa Siku 30
8Marejesho ya Maswali na mapendekezoKuwasilisha maulizo afisiniBila MalipoSiku 7 za kazi
TUMEWAJIBIKA KUTOA HUDUMA KWA UADILIFU NA UENDELEVU.
UWASILISHAJI WA MAONI NA MALALAMIKO
Mtu yeyote ambaye hajaridhishwa na huduma au utendakazi wetu anaweza kuwasilisha malalamishi na mapendekezo kwa afisa:
Mwalimu Mkuu Chuo cha ufundi cha Muraga SLP ; 614- 60400 CHUKA KENYA Simu: 0113 175 113   Baruapepe: muragatechinst@gmail.comTume ya Utetezi wa Hakiza utawala West End Towers, Ghorofa ya pili, Waiyaki Way, Westlands SLP; 20414- 00200 NAIROBI SIMU: +254(0)202270000/2303000 Info:complain@ombudsman.go.ke
HUDUMA BORA NI HAKI
Call Us